Yanga yatupwa nje CAF Champions League 2024/2025

Filed in Michezo by on 18/01/2025 0 Comments
Yanga yatupwa nje CAF Champions League 2024/2025

Yanga yatupwa nje CAF Champions League 2024/2025

Yanga yatupwa nje CAF Champions League 2024/2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Klabu ya Young SC imetolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kutoka sare ya 0-0 dhidi ya MC Alger, katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Klabu hiyo ilihitaji alama tatu za lazima ili kuweza kuendelea katika hatua ya robo fainali ya CAF Champions League 2024/2025.

MC Alger wanaungana na Al Hilal Omdurman ya Sudan Kufuzu hatua ya Robo Fainali hiyo.

Msimamo wa Kundi A CAF Champions League 2024/2025.
1:Al Hilal SC = 10
2:Mc Alger = 09
3:Yanga SC = 08
4:TP Mazembe = 05


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!