YANGA YAPATA MWALIKO KENYA

Filed in Michezo by on 18/09/2024 0 Comments

YANGA YAPATA MWALIKO KENYA

YANGA YAPATA MWALIKO KENYA

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Gavana wa Kaunti ya Siaya nchini Kenya, James Orengo amewasilisha mwaliko rasmi kwenda klabu ya Young  kwaajili ya kushiriki ufunguzi wa uwanja wa Siaya tarehe 01 January 2025.

Mwaliko huo uliwasilishwa kwa Rais wa Klabu hiyo, Injinia Hersi Said ambaye mwishoni mwa wiki alikuwa nchini Kenya kushiriki Kikao cha Kamati ya Utendaji cha Shirikisho la soka barani Afrika (CAF)

Yanga inatarajiwa kuchuana na mabingwa wa Kenya, Gor Mahia katika mchezo wa ufunguzi wa uwanja huo.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!