Waliofariki Kuporomoka kwa Ghorofa la Kariakoo Wafikia 13

Filed in Habari by on 17/11/2024 0 Comments

Waliofariki Kuporomoka kwa Ghorofa la Kariakoo Wafikia 13Waliofariki Kuporomoka kwa Ghorofa la Kariakoo Wafikia 13

Watu 13 wamethibitika kufariki Dunia na wengine 84 kujeruhiwa kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo katika eneo la Kariakoo mkoani Dar es Salaam, iliyotokea jana Novemba 16, 2024.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa idadi hiyo ya vifo pamoja na majeruhi ni ya hadi saa nne asubuhi leo Novemba 17, 2024.

Rais Samia ametoa idadi hiyo alipokuwa akitoa salamu za pole kwa waathirika wa ajali ya kuporomoka kwa moja kwa jengo hilo la ghorofa Kariakoo .

Ametoa salamu hizo leo Novemba 17, 2024, Jijini Rio de Janeiro nchini Brazil ambapo yupo kwaajili ya kushiriki mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa Kundi la G20 unaotarajiwa kuanza kesho Novemba 18, 2024.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!