VIINGILIO Yanga vs Al Hilal Sudan 26 November 2024

Filed in Michezo by on 16/11/2024 0 Comments

VIINGILIO Yanga vs Al Hilal Sudan 26 November 2024VIINGILIO Yanga vs Al Hilal Sudan 26 November 2024

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Young Africans, ametangaza Viingilio vya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Hilal ya Sudan ambao utapigwa November 26 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia saa 10:00 jioni.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Viingilio hivo ni Kama ifuatavyo; VIP A itakuwa ni Tsh 30,000, VIP B itakuwa Tsh 20,000, VIP C itakuwa Tsh 10,000 na Viti vya rangi Machungwa pamoja na Mzunguuko itakuwa ni Tsh 3,000.

Aidha Mauzo ya tiketi hizo yameanza leo kupitia mitandao ya simu na vituo mbalimbali vitakavyotajwa leo hii.

Ally Kamwe amewataka Mashabiki na Wanachama wa Young Africans kujitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa ili kuipa hamasa timu yao.

Kamwe amesema kuwa haijawahi kutokea Yanga ikapoteza mechi tatu mfululizo katika mashindano tofauti.

Hii ni mechi ya kila Mwananchi kujitokeza kuongeza nguvu katika kuhakikisha ushindi unapatikana.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!