UFAHAMU Ugonjwa wa Marburg na Jinsi ya Kujikinga

Filed in Makala by on 21/01/2025 0 Comments
UFAHAMU Ugonjwa wa Marburg na Jinsi ya Kujikinga

UFAHAMU Ugonjwa wa Marburg na Jinsi ya Kujikinga

UFAHAMU Ugonjwa wa Marburg na Jinsi ya Kujikinga

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

FAHAMU JINSI UGONJWA WA MARBURG UNAVYOENEA

Marburg ni Ugonjwa unaosababishwa na Virusi vya Marburg na unaambukizwa kwa haraka.

Ugonjwa huu unaenea kwa njia zifuatazo;

Kugusa Majimaji ya mwili kama vile;

  • Kinyesi
  • Matapishi
  • Damu
  • Mkojo na
  • Jasho

Kugusa vitu vilivyotumiwa na mtu mwenye ugonjwa wa Marburg mfano;

  • Vyombo
  • Magodoro na Matandiko pamoja na
  • Nguo
UFAHAMU Ugonjwa wa Marburg na Jinsi ya Kujikinga

UFAHAMU Ugonjwa wa Marburg na Jinsi ya Kujikinga

 

Dalili za Ugonjwa wa Marburg

Dalili za Ugonjwa wa Marburg

 

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MARBURG

Epuka kugusa majimaji ya mwili wa mtu mwenye dalili za Ugonjwa wa Marburg mfano damu, mate, matapishi, jasho, mkojo au na kinyesi

Epuka kugusa au kuosha maiti ya mtu aliyefariki kutokana na Ugonjwa wa Marburg, toa taarifa kwa wataalam wa afya ili mazishi yafanyike kwa kufuata taratibu za afya na utu

Epuka kugusana na mtu mwingine mfano kusalimiana kwa kupeana mikono, kukumbatiana au kubusiana
Nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni mara kwa mara

Epuka kula au kugusa mizoga au wanyama mfano popo, nyani, tumbili au swala wa msituni

Wahi au muwahishe mtu mwenye dalili za Ugonjwa huu katika kituo cha kutolea huduma za afya ili kuepuka kueneza maambukizi katika jamii

Serikali ya Tanzania imejipanga kuhakikisha inaendelea kutoa huduma bora, sahihi na kwa wakati, hivyo endapo utaona mtu mwenye mojawapo ya dalili zilizotajwa toa taarifa haraka katika kituo cha huduma za afya kilicho karibu, ofisi ya serikali ya kijiji/mtaa/ kata au piga simu 199 bila malipo.

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MARBURG

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA MARBURG


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!