TANZIA: Mzee King Kikii (Kitambaa Cheupe) Afariki Dunia

Filed in Habari by on 15/11/2024 0 Comments

TANZIA: Mzee King Kikii (Kitambaa Cheupe) Afariki DuniaTANZIA: Mzee King Kikii (Kitambaa Cheupe) Afariki Dunia

Mwanamuziki mkongwe, Boniface Kikumbi Mwanza Mpango (King Kikii) amefariki dunia.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

King Kiii ambaye ameugua kwa muda mrefu, amefariki usiku wa kuamkia leo November 15,2024 katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa.

Mzee King Kikii atakumbukwa kwa wimbo wake uliotamba zaidi hata sasa wa Kitambaa Cheupe.

Pumzika kwa amani Mzee wa Kitambaa Cheupe King Kikii.

Nijuze Habari tunawapa pole familia ya Mzee King Kikii, Mungu awe faraja yenu Kwa kipindi hiki kigumu.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!