TAMISEMI Jinsi ya Kuangalia Mwenendo wa Ombi la Ajira

Filed in Makala by on 08/12/2024

TAMISEMI Jinsi ya Kuangalia Mwenendo wa Ombi la AjiraTAMISEMI Jinsi ya Kuangalia Mwenendo wa Ombi la Ajira,Jinsi Kuangalia Status ya Ombi la Ajira TAMISEMI.

Makala hii inakuwezesha Mwombaji wa Ajira Kuangalia hali ya ombi lako la Ajira za Tamisemi Mtandaoni baada ya kutuma maombi na kuangalia kama maombi yamekubaliwa au yamekataliwa.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA
TAMISEMI Jinsi ya Kuangalia Mwenendo wa Ombi la Ajira, Jinsi ya Kuangalia Mwenendo wa Ombi la Ajira,Jinsi Kuangalia Status ya Ombi la Ajira, Jinsi Kuangalia Status ya Ombi la Ajira Kwa njia ya USSD, Kuangalia Status Application ajira tamisemi via USSD code.

TAMISEMI Jinsi ya Kuangalia Mwenendo wa Ombi la Ajira

Jinsi Kuangalia Mwenendo wa Ombi lako la Ajira (USSD) kupitia simu yako TAMISEMI.

Piga *152*00# kwenye simu yako kisha fuata maelekezo na utapokea taarifa kwa njia ya SMS.

MAHITAJI

  • NIDA/Kitambulisho cha Taifa
  • Namba ya simu iliyotumiwa wakati wa usajili/maombi.

JINISI YA KUPATA MWENENDO WA OMBI LAKO LA AJIRA (USSD)

  1. INGIA KWENYE MENYU KUU
    *152*00#
  2. CHAGUA MENU NAMBA 3
    Ajira, Utambuzi
  3. CHAGUA MENU NAMBA 8
    Ajira TAMISEMI
  4. CHAGUA MENU NAMBA 1
    Hali ya Ombi
  5. HATUA YA UTHIBITISHO WA NIN
    Ingiza Namba ya Kitambulisho
    cha Taifa (NIN)

ANGALIZO
HUDUMA HII NI KWA WALIOFANYA MAOMBI YA AJIRA
Tumia NIN na namba ya simu uliyotumia wakati unajisajili kwenye mfumo wa ajira ili kupata majibu

KUHUSU AJIRA ZA UALIMU

TAMISEMI inaweza kuhusika katika uajiri na usimamizi wa walimu katika shule za umma katika ngazi ya serikali za mitaa.

TAMISEMI Wanaweza kutangaza nafasi za ufundishaji, kuratibu programu za mafunzo ya walimu, na kushughulikia upangaji na upangaji wa walimu katika shule tofauti.

Katika sekta ya afya, TAMISEMI ina mchango mkubwa katika usimamizi wa huduma za afya katika ngazi ya serikali za mitaa.

Hii inaweza kuhusisha kuajiri na kupelekwa kwa wafanyakazi wa huduma ya afya, kama vile madaktari, wauguzi, na wafanyikazi wengine wa matibabu, kwenye vituo vya afya vilivyo chini ya mamlaka yao.

Kwa maelezo zaidi tembelea: https://www.tamisemi.go.tz/


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Comments are closed.

error: Content is protected !!