SIMBA YAACHANA NA KOCHA JUMA MGUNDA

Filed in Michezo by on 08/09/2024 0 Comments
SIMBA YAACHANA NA KOCHA JUMA MGUNDA

Uongozi wa klabu ya Simba umeachana na Kocha Juma Ramadhani Mgunda baada ya mkataba wake kutamatika.

Uongozi wa Simba umetoa Shukrani Kwa Kocha Mgunda kwa utumishi wake ndani ya Simba SC (Simba Senior Team) kisha kuhamishi

wa timu ya Wanawake (Simba Queens) huku kote akitimiza majukumu yake.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA
Katika kipindi chake Kocha Mgunda ameiwezesha Simba Queens kurejesha taji lake la ligi kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL).
Kwa taarifa hiyo Simba Simba Queens kuanzia sasa itakuwa chini ya Kocha msaidizi, Mussa Hassan Mgosi ambae tayari ameshaanza maandalizi ya msimu mpya wa Ligi kuu ambayo itaanza hivi karibuni.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!