SIFA za Mgombea Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024

Filed in Habari by on 16/09/2024 0 Comments

SIFA za Mgombea Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024SIFA za Mgombea Uchaguzi Serikali za Mitaa 2024

Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 27 November 2024  hizi hapa ni Sifa za Mgombea.
  • Awe raia wa Tanzania
  • Awe na umri wa miaka 21 au zaidi.
  • Awe na uwezo wa kusoma na kuandika Kiswahili au Kiingereza
  • Awe na shughuli halali ya kumwezesha kuishi
  • Awe mkazi wa eneo la kitongoji
  • Awe Mwanachama wa Chama Cha Siasa na amedhaminiwa na Chama.
  • Awe na akili timamu

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!