SIFA za Kujiunga na Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI)

SIFA za Kujiunga na Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI)
SIFA za Kujiunga na Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI)
- Astashahada (NTA Level 4 – Basic Technician Certificate)
- Kidato cha Nne (Form Four) na ufaulu wa angalau daraja la nne (Division IV).
- Mwombaji awe amepata angalau ufaulu wa “Principal Pass” moja na “Subsidiary” katika mtihani wa Kidato cha Sita (ACSEE) AU awe na Astashahada (NTA Level 4 Basic Technician Certificate) toka Chuo chochote kilichosajiliwa na kinachombulika na Serikali.
- Pia awe amepata angalau ufaulu wa “D” 4 za Kidato cha Nne(CSEE). Masomo ya Dini hayahusiki.
- Kidato cha Nne (Form Four) na ufaulu wa angalau daraja la nne (Division IV) na diploma ya NTA Level 5 katika kozi husika.
- Kozi ya Uhasibu na Fedha katika Serikali za Mitaa (Local Government Accounting and Finance) inahitaji mwombaji awe amefaulu somo la HISABATI katika mtihani wake wa kidato cha nne.
- Kama mwombaji amefanya mtihani wa kidato cha nne zaidi ya mara moja, aambatanishe nakala za vyeti vyake vya awamu zote za mithani aliyofanya.
- Chuoni, Hombolo
- Kampasi ya Dodoma Mjini (Area C)
- Katika tovuti ya Chuo www.lgti.ac.tz
- Wizarani Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Library)
