RASMI Yanga yaachana na Miguel Gamondi

Filed in Michezo by on 15/11/2024 0 Comments

RASMI Yanga yaachana na Miguel GamondiRASMI Yanga yaachana na Miguel Gamondi

Uongozi wa Young Africans Sports Club umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa kikosi cha kwanza, Angel Miguel Gamondi.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Vilevile, Uongozi wa Young Africans Sports Club, umesitisha mkataba wa kocha msaidizi wa kikosi cha kwanza, Moussa Ndaw.

Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kuwashukuru Makocha hao kwa mchango wao ndani ya Klabu hiyo na unawatakia kila la kheri katika majukumu yao mapya.

Tayari mchakato wa haraka wa kutafuta Makocha wapya wa kikosi chetu cha kwanza umeanza na unatarajiwa kukamilika hivi punde.

RASMI Yanga yaachana na Miguel Gamondi

RASMI Yanga yaachana na Miguel Gamondi


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!