NAFASI za Walimu Evangelistic Pre-& Primary School

Filed in Michezo by on 22/11/2024 0 Comments

NAFASI za Walimu Evangelistic Pre-& Primary SchoolNAFASI za Walimu Evangelistic Pre-& Primary School

Uongozi wa shule ya Tumaini Evangelistic Pre-& Primary School – Moshi iliyopo Langasani unapenda kuutangazia umma kuwa, shule imetoa nafasi za ajira kwa walimu na Mhasibu.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

SIFA ZAWAOMBAJI:

✅Walimu wa shule ya Msingi.

  • Wenye stashahada au shahada ya ualimu kwa somo la kiingereza (English)
  • Wenye uzoefu usiopungua miaka miwili (02) katika ufundishaji wa madarasa ya mitihani kwa shule za private (English Medium)

Walimu wa madarasa ya awali.

  • Wenye astashahada au stashahada ya ualimu.
  • Wenye uzoefu usiopungua miaka miwili (02) katika ufundishaji wa madarasa ya awali (Baby class, Middle class and Pre-unity class)

Mhasibu.

  1. Awe na astashahada au stashahada ya uhasibu.
  2. Awe na uzoefu usiopungua mwaka mmoja (01).

MASHARITI YA JUMLA YA NAFASI ZOTE ZA KAZI:

  • Waombaji wote wawe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35.
  • Waombaji wote wawe ni wakristo waliookoka, kwani shule ni ya mlengo na malezi ya kidini.(Pentekoste)
  • Waombaji waambatanishe nakala za vyeti vya taaluma, cheti cha kuzaliwa na barua ya utambulisho kutoka kwa Mchungaji wako.

N.B: Maombi yote yaandikwe kwa lugha ya kiingereza na yaletwe shuleni au yatumwe kupitia email ya shule, “tumainievangelistic@gmail.com“.

Waombaji wenye sifa tajwa ndio watakaoitwa kwa mahojiano zaidi.

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 06/12/2024.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!