NAFASI Za Kazi Watu Simu Kagera

Filed in Ajira by on 15/01/2025 1 Comment
NAFASI Za Kazi Watu Simu Kagera

NAFASI Za Kazi Watu Simu Kagera

NAFASI Za Kazi Watu Simu Kagera

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kampuni ya Watu Simu ambayo inatoa mikopo nafuu na rahisi, kwa aina mbalimbali za simu janja ndani ya soko la Tanzania inatangaza nafasi za Ajira kwa watu wenye sifa stahiki.

Kampuni hiyo kupitia tawi lake la Bukoba/Rwamishenye inahitaji Vijana wa Kuuza Simu za Mikopo Katika Mkoa wa Kagera.

NAFASI Za Kazi Watu Simu Kagera

NAFASI Za Kazi Watu Simu Kagera

Wilaya ambazo tunahitaji Vijana ni Karagwe, Kyerwa, Bukoba Manispaa, Bukoba Vijijini, Missenyi pamoja na Muleba.

SIFA ZA MWOMBAJI

  • Vijana wa Kike na wa Kiume
  • Awe na umri kuanzia miaka 18.
  • Awe na Smartphone
  • Awe na namba ya NIDA au Kitambulisho Cha NIDA

Tuma Maombi kwenye WhatsApp namba 255756658100


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Comments (1)

Trackback URL | Comments RSS Feed

  1. can help me to get job

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!