NAFASI za Kazi Kutoka Pamba Jiji FC

Filed in Ajira by on 02/10/2024 0 Comments
NAFASI za Kazi Kutoka Pamba Jiji FC

NAFASI za Kazi Kutoka Pamba Jiji FC

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza anapenda kuwatangazia Watanzania wenye sifa nafasi 1 ya ajira ya Mtendaji Mkuu (CEO) wa Timu ya Pamba jiji (FC) yenye makao yake Jijini Mwanza.
Sifa za Mwombaji Nafasi ya Mtendaji Mkuu (CEO)
  • Awe na shahada au Diploma ya Juu katika kozi ya michezo.
  • Awe na ujuzi katika lugha ya Kiswahili na Kingereza.
  • Awe na cheti cha FIFA Transfer Matching System(TMS).
  • Awe na ujuzi katika Uendeshaji wa akaunti za Kijamii.
  • Awe na uzoefu zaidi ya miaka (3) katika kazi ya Katibu Mtendaji.
  • Awe na ujuzi utaalamu wa kutumia Computer.
  • Awe na ujuzi uwelewa kuhusiana na CAF Club Licensing Regulation.
Jinsi ya Kutuma Maombi
Tuma CV kupitia Barua pepe:

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!