NAFASI ZA KAZI KUSIMAMIA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA SERENGETI DISTRICT COUNCIL

Filed in Ajira by on 18/09/2024 0 Comments
NAFASI ZA KAZI KUSIMAMIA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA SERENGETI DISTRICT COUNCIL

NAFASI ZA KAZI KUSIMAMIA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA SERENGETI DISTRICT COUNCIL

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti anawatangazia Watumishi wa Umma wote nafasi za kazi kwa ajili ya shughuli za uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba 2024.
NAFASI ZILIZOTANGAZWA
  • Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi ngazi ya Kituo
  • Afisa Mwandikishaji wa Wapiga kura
SIFA ZINAZOTAKIWA
  • Asiwe na dhamana au Uongozi katika chama chochote cha siasa
  • Awe ni Mtumishi katika Utumishi wa Umma (Public Service) Awe mwadilifu
NAMNA YA KUANDIKA BARUA
  • Barua zote ziandikwe kwa mkono
  • Barua iandikwe majina kamili yanayotumika katika Utumishi Barua itaje nafasi ya kazi unayoomba
  • Barua itaje kituo cha kazi
  • Barua itaje Cheo katika Utumishi wa Umma
  • Barua iwe na anuani kamili ikiwa na namba ya simu inayopatikana wakati wote
  • Barua iambatishwe na maelezo binafsi (CV)
  • Barua ziwasilishwe kwa mkono masijala ya wazi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Serengeti

Barua iandikwe kwa:-Msimamizi wa Uchaguzi, Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, S.L.P 176, MUGUMU-SERENGETI.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!