NAFASI 600 ZA WALIMU MDAs & LGAs (PSRS)

Filed in Ajira by on 17/09/2024 0 Comments
NAFASI 600 ZA WALIMU MDAs & LGAs (PSRS)
NAFASI ZA KAZI ZA WALIMU MDAs & LGAs (PSRS)

NAFASI 600 ZA WALIMU MDAs & LGAs (PSRS)

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MDAs NA LGAs 17-09-2024
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGAs) anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 600 kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

NAFASI 600 ZA KAZI MDAs NA LGAs DOWNLOAD PDF 

MASHARTI YA JUMLA.
  • Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini serikalini.
  • Waombaji wa nafasi za Mwalimu Daraja la III B na Mwalimu Daraja la III C wahakikishe wanambatisha HATI YA MATOKEO (ACADEMIC TRANSCRIPT) katika mfumo wa “Ajira Portal” kwa ajii ya utambuzi wa masomo ya kufundishia.
  • Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutumia maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
  • Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.
  • Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa Waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
  • Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
  • Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, maelezo, nakala za vyeti vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya kuzaliwa, kidato cha Nne, kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho, na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
  • Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
  • Cheti cha mtihani wa kidato cha IV na VI Computer Certificate Vyeti vya kitaaluma (Professional certificates from respective boards)
  • “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
  • Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).
  • Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba  isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
  • Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.
  • Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 30 Septemba, 2024.
MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa
pamojana vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
KATIBU,
OFISI YA RAIS,
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
S. L. P. 2320, DODOMA.
Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment 
Portal) kupitia anuani ifuatayo; http://portal.ajira.go.tz/.= (Anuani hii pia 
inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu
iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)
(Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa
kuingia sehemu iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)
Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika
tangazo hili HAYATAFIKIRIWA.
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA ULEHEMU NA UTENGENEZAJI WA VYUMA (WELDING AND METAL FABRICATION) – 20 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UMEME WA MAGARI (AUTO ELECTRICAL) – 85 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UZALISHAJI WA CHAKULA (FOOD PRODUCTION) – 8 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA MICHEZO (SPORTS GENERAL) – 2 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UPOAJI NA VIYEO VYA HEWA (REFRIGERATION AND AIR CONDITIONING) – 9 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UPAKAJI RANGI NA UANDIKAJI MAANDISHI (PAINTING AND SIGN WRITING) – 3 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USELEMALA (CARPENTRY AND JOINERY WITH METAL WORKS) – 18 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UFUNDI WA BOMBA (PLUMBING AND PIPE FITTING) – 18 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UASHI (MASONRY AND BRICKLAYING) – 26 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA USHONAJI (DESIGNING, SEWING AND CLOTH TECHNOLOGY) – 17 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III C – SOMO LA UFUNGAJI WA NISHATI YA JUA (SOLAR POWER INSTALLATION) – 15 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III C – SOMO LA SANAA YA UIGIZAJI NA UTUMBUIZAJI WA MUZIKI (THEATHER ARTS AND MUSIC PERFOMANCE) – 8 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III C – SOMO LA UTENGENEZAJI PROGRAMU ZA TEHAMA (COMPUTER PROGRAMMING) – 16 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III C – SOMO LA MICHEZO (SPORTS AND GAMES) – 8 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III C – SOMO LA UFUNGAJI UMEME (ELECTRICAL INSTALLATION) – 20 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA CHAKULA NA VINYWAJI, MAUZO NA HUDUMA (FOOD AND BEVARAGE, SALES AND SERVICES) – 5 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply
POST: MWALIMU DARAJA LA III B – SOMO LA UFUNDI WA MAGARI (MOTOR VEHICLE MECHANICS) – 20 POST
Employer: MDAs & LGAs
More Details
2024-09-30
 Login to Apply

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!