NAFASI 4 za Madereva Ruangwa District Council

Filed in Ajira by on 14/10/2024 0 Comments
NAFASI 4 za Madereva Ruangwa District Council
Nafasi 4 za Madereva Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa.
MAJUKUMU YA DEREVA DARAJA II
  • Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
  • Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
  • Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
  • Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
  • Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
  • Kufanya usafi wa gari; na
  • Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.
SIFA ZA MWOMBAJI 
Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. 
MSHAHARA: TGS B
Mwisho wa kutuma Maombi ni 27-10-2024
KUTUMA MAOMBI BONYEZA HAPA
POST: DEREVA DARAJA II(RE-ADVERTISED) – 4 POST
Employer: Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
More Details
2024-10-27
 Login to Apply

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!