NAFASI 200 za Madereva Qwihaya General Enterprises Ltd November 2024

Filed in Ajira by on 09/11/2024 0 Comments

NAFASI 200 za Madereva Qwihaya General Enterprises Ltd November 2024NAFASI 200 za Madereva Qwihaya General Enterprises Ltd November 2024

Qwihaya General Enterprises Company Limited ni kampuni inayohusika na uzalishaji na usambazaji wa nguzo za umeme na Makaa ya Mawe hapa nchini.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kampuni hiyo unatangaza nafasi 200 za Madereva

SIFA ZA MWOMBAJI

  • Cheti xha Kidato cha Nne na Kuendelea
  • Cheti cha NIT Au VETA
  • Leseni ya Udereva ya Kuendesha Magari Makubwa
  • Umri Kuanzia Miaka 25 hadi 60
  • Uzoefu Kuanzia Miaka Mitano wa Kuendesha Gari Kubwa

VIAMBATANISHO

  • Barua ya Maombi ya Kazi
  • Wasifu wa Muombaji (CV)
  • Barua Serikali za Mtaa Unaoishi
  • Barua za Wadhamini watatu (3) wanao fanya kazi Serikalini na Vitambulisho vyao vya Kazi
  • Picha za Muombaji (Passport Size).

Maombi yote yatumwe kwenye ofisi za Kampuni au email
humanresource@qwihaya.co.tz
Mkoa wa Iringa 0742 128004
Mkoa wa Mwanza 0759777905
Sumbawanga 0744 66 68 76
Songea 0716666841

Zingatia – Muhimu: Watakaochaguliwa watapigiwa Simu kwa mchakato zaidi

Epuka kutapeliwa fedha au kitu chochote cha thamani kwaajili ya upendeleo wa kupata ajira hizi.

Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 25/11/2024


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!