Mustafa Kodro Kocha Msaidizi Young Africans

Filed in Michezo by on 18/11/2024 0 Comments

Mustafa Kodro Kocha Msaidizi Young AfricansMustafa Kodro Kocha Msaidizi Young Africans

Klabu ya Young Africans imemtambulisha Mustafa Kodro kuwa Kocha Msaidizi wa kikosi cha mabingwa hao wa nchi akichukuwa nafasi iliyoachwa na Moussa N’Daw

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kodro mwenye umri wa miaka 43 ni pendekezo la Kocha Mkuu, Sead Ramovic ambaye alifanya naye kazi katika klabu ya TS Galaxy ya Afrika Kusini

Mustafa Kodro Kocha Msaidizi Young Africans

Mustafa Kodro Kocha Msaidizi Young Africans

Kodro ambaye ni raia wa Bosnia ana leseni ya ukocha ya UEFA Pro.

Kabla ya kuingia kwenye ukocha, Kodro alikuwa kiungo mahiri akicheza katika klabu mbalimbali za Premia Ligi nchini kwao Bosnia.

Kodro anakamilisha benchi la ufundi la Young Africans ambalo linawajumuisha wataalam wote waliobaki ambao walikuwa katika benchi la Miguel Gamondi ukimuondoa Moussa Ndaw.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!