MSIMAMO wa Kundi la Tanzania Kufuzu AFCON 2025

Filed in Michezo by on 19/11/2024 0 Comments
MSIMAMO wa Kundi la Tanzania Kufuzu AFCON 2025

Msimamo wa Kundi la Taifa Stars Kufuzu AFCON 2025, Msimamo Kundi H la Tanzania Kufuzu AFCON 2025,Msimamo wa Kundi H Kufuzu AFCON 2025.

Timu ya Taifa ya Tanzania ipo Kundi H pamoja na timu za DR Congo, Guinea, na Ethiopia kuwania kufuzu AFCON 2025.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Tanzania kwenye Kundi hili ipo pamoja na mataifa matatu ambayo yanashikilia nafasi tofauti katika viwango vya soka vya Dunia vya FIFA.

Kwa upande wa DR Congo wao katika nafasi ya 60, Guinea ipo kwenye nafasi ya 77, Tanzania yenyewe nafasi ya 113, huku Ethiopia ikiwa nafasi ya 143.

Hapa chini tumekuwekea Msimamo wa Kundi H la Tanzania Kufuzu AFCON 2025 hadi leo tarehe 19 November 2024.

MSIMAMO wa Kundi la Tanzania Kufuzu AFCON 2025

MSIMAMO wa Kundi la Tanzania Kufuzu AFCON 2025


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!