MFANO wa Barua ya Kuomba Ajira Jeshi la Uhamiaji

Filed in Makala by on 01/12/2024

MFANO wa Barua ya Kuomba Ajira Jeshi la UhamiajiMFANO wa Barua ya Kuomba Ajira Jeshi la Uhamiaji

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kanuni Namba 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018, ametangaza nafasi za Ajira Mpya za Askari wa Uhamiaji kwa Vijana wa Kitanzania wenye sifa zifuatazo zilizoainishwa kwenye Tangazo hapa chini;

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Moja ya Nyaraka ambazo Mwombaji anatapaswa kuambatanisha (Kuupload) kwenye mfumo wa Ajira ni barua ambayo unaiandika Kwa Mkono.

Mwisho wa kufanya maombi ni tarehe 13 Disemba, 2024.

Kuelekea hatua hiyo ya Kutuma Maombi, Nijuze Habari imekuwekea hapa Sample ya Barua ya Maombi ya Ajira hizo kwenye PDF hapa chini;

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD SAMPLE YA BARUA YA KUOMBA AJIRA JESHI LA UHAMIAJI

Soma hapa Mwongozo wa Kuomba Ajira Jeshi la Uhamiaji, Kujisajili na Kutuma Maombi


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Comments are closed.

error: Content is protected !!