MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MFAMASIA NA AFISA MUUGUZI DARAJA LA II

Filed in Usaili by on 08/09/2024 0 Comments

MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MFAMASIA NA AFISA MUUGUZI DARAJA LA II


MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KADA YA MFAMASIA DARAJA LA II (PHARMACIST II) NA AFISA MUUGUZI DARAJA LA II (NURSING OFFICER II) ULIOFANYIKA TAREHE 07/09/2024

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wanatakiwa kwenda katika mikoa waliochagua kufanya kazi kama walivyoainisha katika barua ya maombi ya kazi kwa ajili ya usaili wa mahojiano.

READ ALSO: TAAARIFA MPYA KWA WASAILIWA WA KADA ZA AFYA

Wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)

Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)

Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!