MATOKEO Simba SC vs CS Constantine 19 January 2025

Filed in Michezo by on 19/01/2025 0 Comments
MATOKEO Simba SC vs CS Constantine 19 January 2025

MATOKEO Simba SC vs CS Constantine 19 January 2025

MATOKEO Simba SC vs CS Constantine 19 January 2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Klabu ya Simba imekamilisha mpango wake wa kumaliza nafasi ya kwanza hatua ya makundi kombe la Shirikisho (CAF Confederation  Cup) baada ya Kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya CS Constantine katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar Es Salaam.

MATOKEO Simba SC vs CS Constantine 19 January 2025

MATOKEO Simba SC vs CS Constantine 19 January 2025

Mabao ya kipindi cha pili yaliyofungwa na Kibu Denis dakika ya 61 na Lionel Ateba dakika ya 79 yalitosha kuihakikishia Simba ushindi ambao unawafanya waongoze kundi A baada ya kufikisha pointi 13 na kuizidi CS Constantine iliyoshuka nafasi ya pili Kwa pointi 12.

Ushindi huo unamaanisha Simba itacheza mechi ya kwanza ugenini katika hatua ya robo fainali dhidi ya timu itakayomaliza nafasi ya pili katika Kundi B, C au D.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!