MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Nanyamba District Council

Filed in Ajira by on 11/01/2025 0 Comments

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Nanyamba District Council

MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Nanyamba District CouncilMAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Ajira za INEC Nanyamba District Council

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Nanyamba kwa mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu 12 (1) cha Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura za mwaka 2025, anapenda kuwatangazia wote waliobainishwa kwenye orodha kuwa wameitwa kwenye usaili wa nafasi za kazi za muda za Waandikishaji Wasaidizi na Waendeshaji wa Vifaa vya Bayometriki (BVR) kwa ajili ya shughuli ya uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura.

Usaili utafanyika tarehe 11 Januari, 2025 saa 02:00 Asubuhi katika vituo vyote vilivyoainishwa hapa chini:-Masharti ya Masharti ya Jumla kwa Wasailiwa:-

  • Kufika na vyeti halisi ulivyotumia kuombea kazi.
  • Kufika na kitambulisho chochote chenye picha ya Msailiwa au barua ya utambulisho kutoka Mamlaka ya Serikali za Mtaa/Kijiji Kila Msailiwa atajigharamia gharama chakula, usafiri na malazi.
  • Kila Msailiwa atatatakiwa kuzingatia tarehe, muda na mahali alilopangwa kufanya usaili

Pamoja na tangazo hili orodha ya wasailiwa imeambatanishwa kwenye PDF hapa chini;

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!