Majeruhi Waliopokelewa Muhimbili Kutoka Kariakoo

Filed in Habari by on 16/11/2024 0 Comments

Majeruhi Waliopokelewa Muhimbili Kutoka KariakooORODHA YA MAJERUHI WALIOPOKELEWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI KUTOKA KARIAKOO LEO TAREHE 16.11.2024 KUANZIA SAA 04:00 ASUBUHI HADI SAA 11:00 JIONI DAR ES SALAAM: NOVEMBA 16, 2024.

Hospitali ya Taifa Muhimbili imepokea jumla ya majeruhi 40 waliopata ajali kutokana na kuporomoka kwa ghorora Kariakoo, Jijini Dar es Salaam ambapo hadi kufikia saa 11 jioni, 35 kati yao wameruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kufanyiwa uchunguzi na kubainika kuwa walipata majeraha sehemu mbalimbali za mwili na kutibiwa, kisha kuruhusiwa.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Watano kati yao bado wanaendelea na matibabu ambapo wanne wamepelekwa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwaajili matibabu zaidi.

Aidha Hospitali hiyo imesema kuwa haijapokea maiti.

Ifuatayo kwenye PDF hapa chini ni orodha ya majeruhi waliopokelewa Hospitali ya Taifa Muhimbili;


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!