MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumapili 19 January 2025

Filed in Magazeti by on 19/01/2025 0 Comments

MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumapili 19 January 2025

Baada ya kushindwa kutinga robo Fainali, Klabu Young Africans imekosa kiasi cha Dola 900,000 (Sh2.3 bilioni) ambacho kila timu inayotinga hatua hiyo inajihakikishia kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Yanga imeshindwa kufuzu hatua hiyo msimu huu baada ya kulazimishwa sare ya 0-0 na MC Alger kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Aidha, kwa kuishia hatua ya makundi, itaondoka na kifuta jasho cha Dola 700,000 (Sh1.8 bilioni) kutoka CAF.

Msimu uliopita, Yanga iliishia hatua ya robo Fainali ambapo ilitolewa kwa mikwaju ya penalti 3-2 na Mamelodi Sundowns baada ya mechi mbili baina yao kumalizika kwa sare ya 0-0.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!