MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumanne 14 January 2025

Filed in Michezo by on 14/01/2025 0 Comments

MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumanne 14 January 2025

Nyota wa zamani wa Taifa Stars, Mrisho Ngasa, ataungana na magwiji wengine wawili katika droo ya Fainali za CHAN2024 itakayofanyika nchini Kenya Jumatano ya Januari 15.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Wachezaji hao wa zamani wa soka ni Hassan Wasswa kutoka Uganda na Mkenya McDonald Mariga ambao wataungana na Mrisho Ngasa kutoka Tanzania.

Droo hiyo itafanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta, Nairobi Kenya, Jumatano saa 2:00 usiku.

Michuano ya CHAN 2024 itaanza tarehe 1 February hadi tarehe 28 February, 2025, katika mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!