MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumamosi 18 January 2025

Filed in Magazeti by on 18/01/2025 0 Comments

MAGAZETI ya Tanzania Leo Jumamosi 18 January 2025

Rais Samia Suluhu Hassan amemhamisha Dk Seif Shekalaghe kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu kwenda kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Aidha, amemhamisha Dk John Jingu kutoka Wizara ya Afya kwenda kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Mosses Kusikula na kusainiwa na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Sharifa Nyanga leo Ijumaa Januari 17, 2025, uteuzi huo unaanza mara moja.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!