JEZI Mpya za Yanga CAF Champions League 2024/2025

Filed in Michezo by on 20/11/2024 0 Comments

JEZI Mpya za Yanga CAF Champions League 2024/2025JEZI Mpya za Yanga CAF Champions League 2024/2025

Klabu ya Young Africans, leo Jumatano Novemba 20,2024 imezindua jezi mpya ambazo itazitumia kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League 2024/2025).

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Yanga imetinga hatua ya makundi ya michuano hiyo na mechi yake ya kwanza itapigwa Novemba 26, 20204 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Jijini Dar Es Salaam.

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu hiyo, Ally Kamwe amesema kuwa kuwa Jezi hizo zitauzwa kwa shilingi elfu 50 na zitauzwa Kwa bei rejareja tu, hakutakuwa na bei ya jumla.

Aidha Jezi hizo zitauzwa Makao Makuu ya Klabu hiyo Jangwani na katika maduka yote ya GSM Malls.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!