Mahusiano

Sitarudia tena ukahaba, kilichonipata huko siwezi kusahau!

Filed in Mahusiano by on 16/12/2024
Sitarudia tena ukahaba, kilichonipata huko siwezi kusahau!

Sitarudia tena ukahaba, kilichonipata huko siwezi kusahau! Kutokana na ugumu wa maisha nilijikuta nimeingia kwenye biashara ya ukahaba bila mimi mwenye kupenda, nilifanya kazi ile kishingo upande, ni vile tu sikuwa na jinsi. Huko nilikumbana na changamoto nyingi, moja wapo ambayo ni kubwa zaidi ni kukamatwa na Polisi na kufikishwa kituoni, kama ukiwa siku hiyo […]

Continue Reading »

Mke wangu kaniambia siri ya Kushangaza Ajabu!

Filed in Mahusiano by on 06/12/2024
Mke wangu kaniambia siri ya Kushangaza Ajabu!

Mke wangu kaniambia siri ya Kushangaza Ajabu! Jina langu ni Frey, tumeishi na mke wangu Tuma kwa miaka 12 ndani ya ndoa yetu, naweza kusema kati ya Wanaume Duniani ambao wamefaidi matunda ya ndoa mimi ni mmoja wapo. Nasema hivyo kwa sababu tangu nimemuoa huyu mke  wangu sikumbuki kama kuna siku tumewahi kugombana au kununiana […]

Continue Reading »

Mama mwenye nyumba ananitaka kimapenzi, nifanyaje?

Filed in Mahusiano by on 05/12/2024
Mama mwenye nyumba ananitaka kimapenzi, nifanyaje?

Mama mwenye nyumba ananitaka kimapenzi, nifanyaje? Unajua kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho nilichonikuta mimi pale ambapo mama mwenye nyumba aliponiita nyumbani na kuniambia kuwa ananitaka kimapenzi. Jina langu ni Julio, kijana wa miaka 25 ambaye najishughulisha na Ujasiriamali hapa jijini Dar es Salaam, kutokana na […]

Continue Reading »

Kwanini ni vigumu kwa Wanawake wasomi kupata ndoa?

Filed in Mahusiano by on 04/12/2024
Kwanini ni vigumu kwa Wanawake wasomi kupata ndoa?

Kwanini ni vigumu kwa Wanawake wasomi kupata ndoa? Kuna mtu mmoja katika mtandao wa Twitter aliuliza kwanini mahusiano au ndoa za watu ambao hawajasoma zinadamu kuliko za wale ambao wana elimu kubwa?. Swali hilo lilikuwa likigusa maisha yangu kutokana nilikuwa mwanamke ambaye kila mara nilijikuta katika mahusiano mapya, suala la elimu yangu lilifanya wanaume kuugopa […]

Continue Reading »

Kanipa adhabu kwa kuniambukiza Kaswende!

Filed in Mahusiano by on 26/11/2024 0 Comments
Kanipa adhabu kwa kuniambukiza Kaswende!

Kanipa adhabu kwa kuniambukiza Kaswende! Sikuwahi kuwaza kama kuna siku mpenzi wangu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote anaweza kunifanyia jambo la kuniumiza moyo wangu pamoja na mwili wangu. Jina langu ni Ray, kijana wa miaka 25, nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja aitwaye Mum ambaye ana kama miaka 26, katika mapenzi yetu kuna kipindi […]

Continue Reading »

Kwa nilichomfanyia, Mume Wangu hawezi Kunisaliti kamwe!

Filed in Mahusiano by on 19/11/2024 0 Comments
Kwa nilichomfanyia, Mume Wangu hawezi Kunisaliti kamwe!

Kwa nilichomfanyia, Mume Wangu hawezi Kunisaliti kamwe! Ukweli ni kwamba wanawake wengi wamekuwa wanasalitiwa sana Wanaume zao ndani ya ndoa jambo linaloacha maumivu makali katika nyoyo zao na kubakia na huzuni tu. Mimi sikutaka kitu kama hicho katika maisha yangu kutokana na nami ni mwaminifu, nafahamu hilo toka kwenye uvungu wa nafsi yangu kwamba sina […]

Continue Reading »

Hii hapa dawa ya Mvuto wa Wanawake hadi Wakung’ang’anie

Filed in Mahusiano by on 07/11/2024 1 Comment
Hii hapa dawa ya Mvuto wa Wanawake hadi Wakung’ang’anie

Hii hapa dawa ya Mvuto wa Wanawake hadi Wakung’ang’anie Jina langu ni Abdul, ni kijana wa miaka 36 kutokea Mathare, nimekuwa nikifanya kazi ya ujenzi maeneo mbalimbali hapa nchini Kenya na kweli nashukuru nimekuwa nikipata fedha nzuri. Kwa sasa naendesha maisha yangu vizuri tu, nimefanikiwa kujenga na kuwekeza mradi mdogo wa kuuza mbao kwaajili ya […]

Continue Reading »

Mume wangu kazaa nje ya ndoa, nifanye nini?

Filed in Mahusiano by on 30/10/2024 0 Comments
Mume wangu kazaa nje ya ndoa, nifanye nini?

Mume wangu kazaa nje ya ndoa, nifanye nini? Furaha ya mwanamke yeyote yule ni kuwa mama, awe na mtoto wake ambaye atakuwa anamnyonyesha kila wakati anapohitaji huduma hiyo ya asili. Ndivyo ilivyokuwa kwangu pale nilipojaliwa mtoto wa kiume mara baada ya kuhangaika kwa miaka mingi kutafuta mtoto bila mafanikio yoyote yake. Jina langu ni Suzi […]

Continue Reading »

Jamani Mume wangu anataka kuvunja Kitanda!

Filed in Mahusiano by on 21/10/2024 0 Comments
Jamani Mume wangu anataka kuvunja Kitanda!

Jamani Mume wangu anataka kuvunja Kitanda! Hakuna taasisi ina siri kubwa kama ndoa jamani na hiyo ni kutokana na msingi wake wa kuanzishwa kwake, haifai hata kidogo kutoa siri za ndani ya ndoa kwa marafiki. Hata hivyo, nikiri wazi kuna wakati uvumilivu ulinishinda na kujikuta nimetoa siri za ndani ya ndoa yangu, sikuwa na jinsi […]

Continue Reading »

error: Content is protected !!