459 Waliozuiliwa Matokeo Kidato cha Nne 2024 Kurudia Mtihani

Filed in Education by on 23/01/2025 0 Comments
459 Waliozuiliwa Matokeo Kidato cha Nne 2024 Kurudia Mtihani

459 Waliozuiliwa Matokeo Kidato cha Nne 2024 Kurudia Mtihani

459 Waliozuiliwa Matokeo Kidato cha Nne 2024 Kurudia Mtihani

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limezuia matokeo ya Wanafunzi 459 wa Kidato cha Nne 2024 kwa sababu mbalimbali zilizosababisha wasifanye mitihani yote.

Hata hivyo wanafunzi hao wamepewa fursa ya kurudia mitihani ya kidato cha Nne mwaka huu 2025.

MATOKEO KIDATO CHA NNE 2024

Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Said Mohammed, akitangaza matokeo ya kidato cha nne leo Alhamisi January 23, 2025 amesema kuwa Wanafunzi hao walipata matatizo ya kiafya na kushindwa kufanya mitihani ya kidato cha nne kwa masomo yote au idadi kubwa ya masomo.


JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.


Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!